manyaki-1.jpg ...      ...

BAADA YA STORY KUZAGAA KUWA KABAKWA NISHA AMTAJA BABA WA MTOTO WAKE

Msanii Wa bongo movie 'Nisha'anayetamba na movie yake ya BossBaby,pia ambaye ni mama kijacho ameamua kumtaja baba Wa mtoto wake.
Nisha anayedaiwa kubakwa na kupewa mimba na mwanaume wake Wa nyuma na kumpatia ujauzito huo ambapo inasemekana ni mtoto Wa kiume.
Nisha amefunguka kwa kumtaja kuwa ni star pia ni msanii Wa nyimbo za bongofleva.
Nisha ameomba sana mtoto wake asifanane na baba yake kwani anamchukia sana baba Wa mtoto huyo kwa kitendo alichomfanyia.
Amesema baba Wa mtoto wake yupo kati ya orodha ya mastar hawa.

Previous
Next Post »