manyaki-1.jpg ...      ...

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AUNDA KAMATI JUU YA MGOMO WA MADEREVA NCHINI



mh mizengo pinda
Waziri mkuu mh mizengo pinda ameunda kamati ya kuchunguza chanzio na kiini pia kutafuta ufumbuzi wa tatizo  lilioathiri leo sehemu ya uchumi wa mtu na raia wao baada ya vyombo na wamiliki wake kugoma kufanya safari zao,wakidai kutokutimiziwa malengo na mahitaji yao.
kama ya mikataba ya kudumu na kiwango kikubwa cha pesa.
ahadi hizi zilitolewa mapema april 10 mwaka huu ambapo mpk sasa serikali ahijatoa tamko lolote kama itatimiza matakwa ya madereva au la.
Previous
Next Post »