manyaki-1.jpg ...      ...

HABARI KUTOKA KAMBI YA LOWASA KUONDOKA NA KUNDI LAKE NA KUGOMBEA URAISI KUPITIA ACT



Habari katika kambi ya Lowasa wakishirikiana na Zitto wanamshawishi ndugu Edward Lowasa kuhamia ACT na kundi lake na kugombea urais kupitia chama hicho.
wanaamini kuwa anawafuasi wengi na akikosa mwaka huu hatopata nafasi nyingine tena maiashani mwake kwa ushawishi alionao ndani ya jamii
Previous
Next Post »