manyaki-1.jpg ...      ...

DULLY SYKES AOMBA VYOMBO VYA HABARI NA WASANII WAMSAIDIE HAYA Q CHILLAH


Mkongwe wa muziki wa Kizazi kipya Dully Sykes, amevitaka vyombo vya habari kumsapoti msanii mwenzie wa Kitambo Q Chillah kwa sababu anaamini bado anauwezo mkubwa zaidi kimuziki.
princedullysykes-20161019-0002
Dully ameiambia Times Fm kuwa, Q chillah ni msanii bora kwake na mwenye sauti ya pekee muda wote ila anachokosa kwa sasa ni sapoti kutoka kwenye Vyombo vya Habari.
Q-Chief
MkaLi huyo wa Inde ametaka nguvu inayoelekezwa kwa wasanii wengine wanaofanya vizuri kwa sasa, imuangazie pia Q Chillah na huenda akarudi na nguvu zaidi.


Previous
Next Post »