manyaki-1.jpg ...      ...

AHIJAWAHI KUTOKEA TANZANIA DIAMOND NA ZARRI WAFUNIKA MBAYA

Usiku wa kuamkia 2 may 2015 ama unaweza ukasema ijumaa ni siku ambayo mji wa dar ulizizima kwa frahaa katika pande za mlimani city kuliko kuwako sherehe ya msanii zarri na diamond sherehe hii iliunganisha watu mbalimbali toka kenya,uganda na tanzania huku watu waliokuwa nje ya nchi na umbali wa tukio wakipewa nafasi ya kuangalia tukio hilo kwa kulipia katika mtandao na kuona moja kwa moja online show.
tiketi zote zilikwisha pamoja na nguo nyeupe katika maduka makubwa ya dar.
mbali na mashabiki wasanii mbalimbali walipata nafasi ya kupita katika red-caperty na viongozi wa serikali akiwemo mkuu wa  wilaya ya kinondoni
chini ni picha za tukio zima lilivyokuwa.
Previous
Next Post »