
mlinzi wa nyumba hiyo aliteswa kwa lengo la kumpata na ataje msanii huyo alipojificha lkn zoezi hilo halikuzaa matunda baada ya polisi kufika na majambazi kutimka.
hakuna aliyekamatwa kutokana na tukio hilo.
TUMA HABARI KWA NJIA YA WHATSAAP IWE YA LEO NA MATANGAZO YOTE KWA BEI RAHISI KUPITIA 0742418010