manyaki-1.jpg ...      ...

LOWASSA ATUA IRINGA, AANZA KUSAKA KURA BAADA YA UZINDUZI WA KISHINDO DAR



Bibi kizee akiwa amejifunga skafu yenye maneno “Mabadiliko” wakati mgombea kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, akiwakilisha vuguvugu la Umoja wa Katiba ya Wananchi, UKAWA, Mh. Edward Lowassa, al;ipohutubia mkutano wa kampeni mjini Iringa leo Jumapili Agosti 30, 2015. Huu ni mkutano wa kwanza tangu azindue kampeni Agosti 29, 2015 pale Jangwani ambapo maelfu ya wananchi walihudhuria
 Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, akimnadi Mh. Lowassa mjini Iringa leo
 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akimnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mafinga Mjini, William Joseph Mungai, wakati wa Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Wambi, Mafinga Mjini, Mkoani Iringa leo Agosti 30, 2015

 Umati wa watu mjini Iringa kwenye mkutano wa kampeni wa UKAWA uliohutubiwa na Mh. Lowassa

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akimnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa  wakati wa Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Sabasaba, Mkoani Iringa leo Agosti 30, 2015
 Mh. Lowassa akihutubia wananchi kwenye mkutanoi wa kampeni mjini Iringa leo
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akimsalimia kijana mwenye ulemavu (jina lake hakupatikana kwa haraka) aliyehudhulia Mkutano wa Kampeni ya Mgombea huyo, uliofanyika kwenye Uwanja wa Sabasaba, Iringa Mjini, leo Agosti 30, 2015
Waziri wa zamani wa Elimu, Mh. Joseph Mungai akihutubia kwenye Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mh. Edward Lowassa
Umati wa wakazi wa Iringa wakishangilia kwenye mkutano huo wa kampeni. (Picha zote na Othman Michuzi)
Previous
Next Post »