Leo ndio ilikuwa siku ya utoaji wa tuzo za
MTV nchini South Afrika ambapo Tanzania tulikuwa tunawakilishwa na
Diamond Platnumz pamoja na Vanessa Mdee, Diamond Platnumz amefanikiwa
kuondoka na Tuzo moja ya Best Live Act. Hapa kuna picha za wasanii
mbalimbali wakiwa Red Carpet.








Diamond Platnumz akiwa kwenye Red Carpet

Vanessa Mdee

Host wa Show Antony Anderson


Miss jheneaiko
Ne-yo

AKA

Khulichana
